Monday, May 7, 2012

TANGAZO LA MAHAFALI YA MKOA TAMSYA MWANZA KWA NGAZI YA VYUO VIKUU

A.ALAYKUM,NDUGU KATIKA IMANI,Mnaalikwa katika mahafali yatakayo fanyika ktk chuo cha mtakatifu augustino SAUT Mwanza,siku ya tarehe 20.05.2012 hivyo mnaombwa kushirikiana kwa hali na mali kwa wale si wahitimu kwa kuchangia kiaasi cha sh 4000/=.