Monday, May 7, 2012

TANGAZO LA MAHAFALI YA MKOA TAMSYA MWANZA KWA NGAZI YA VYUO VIKUU

A.ALAYKUM,NDUGU KATIKA IMANI,Mnaalikwa katika mahafali yatakayo fanyika ktk chuo cha mtakatifu augustino SAUT Mwanza,siku ya tarehe 20.05.2012 hivyo mnaombwa kushirikiana kwa hali na mali kwa wale si wahitimu kwa kuchangia kiaasi cha sh 4000/=.

No comments:

Post a Comment

Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!