Vijana wa kiislamu wake kwa waume wameshauriwa kuliendea suala zima la ndoa,ushauri huo umetolewa katika kongamano la mabinti wa kiislamu lililowashikirisha mabinti mbalimbali wa kiislam wanaosoma katika vyuo mbali mbali hapa jijini Mwanza.
Hoja kuu katika kongamano hilo ilikuwa suala zima la ndoa, katika mada hii waliongelea masuala mbali mbali kama, maana ya ndoa, misingi ya ndoa , mambo ya kuangalia wakati wa kuchagua mchumba na mengine mengi.
Aidha walieleza maana ya ndoa , kuwa ni mkataba wa kuishi pamoja kati ya mume na mke kwa kufuata utaratibu uliwekwa na jamii.Ndoa ya kiislamu (Nikah) ni mkataba (Aqd) wa hiari kati ya mume na mke wa kuishi pamoja kwa wema na upendo kufuatana na masharti na taratibu zilizowekwa na sheria ya kiislamu.
Katika uslamu ndoa ni jambo lililokokotezwa sana kutokana na umuhimu wake katika kujenga na na kuiendeleza jamii.Ndoa katika mtazamo wa Uislamu ina umuhumu sana katika jamii kama , Kuihifadhi jamii na maradhi, kuihifadhi jamii na zinaa, kuendeleza kizazi kwa utaratibu mzuri, Utulivu wa moyo,mwili na akili, kujenga mapenzi , huruma na ushirikiano katika familia na faida nyingine nyingi ambazo mja anaweza kuzipata wakati akiwa ameshiriki katika ibada hii kwa kufuta utaratibu uliowekwa na kuelekezwa katika sheria za Uislamu.
Waislamu wameshariwa wawe makini katika kuchagua mchumba , na katika suala hili wameshauriwa kuwa wachague wachumba ambao wana sifa mbali mbali za kumpendeza Allah na miongoni mwa sifa hizo ni, Dini(Uislam), Tabia njema, Rika, Elimu na suala zima la kizazi.
Jambo la muhimu ambalo limesisitizwa sana miongoni mwa sifa ni suala zima la dini na kila muislamu ni wajibu alizingatie kwa hakika dini ni kigezo kikubwa cha mwanzo muislamu yoyote anatakiwa azingatie kwa mujibu wa mtume wetu Muhammadi (s. a.w), kuhusu kipengele hiki cha dini katika kuchagua mchumba , tunafahamishwa katika hadidhi kuwa:
Abu Hurairah ameeleza: kuwa Mtume(s .a. w) amesema :
" Mwanamke anaolewa kwa vitu vine: Kwa utajiri wake, Kwa ujuzi wake, Kwa uzuri wake na kwa dini yake .Mchague yule mwenye msimamo mzuri wa dini..." (Bukhari na Muslim)
Hivyo shime alaiku ndugu zangu waislamu tuwe makini katika kuchagua wachumba na kuindea ibada nzima ya ndoa kama ilivyowekwa wazi katika sheria za dini yetu na pia kufuata amri za Allah zilizowekwa wazi kwetu na Mtume (s. a. w)
Monday, April 22, 2013
Wednesday, April 17, 2013
TANGAZO LA KONGAMANO LA WANAWAKE
ASSALAM ALAYKUM.NDUGU KATIKA IMANI MNAALIKWA KWNYE KONGAMANO LA WANAVYUO LINALO WAJUMUISHA WANAWAKE WA KIISLAM WA VYUO MBALIMBALI VYA JIJI LA MWANZA.
MAHALI: SAUT
UKUMBI: M1
MUDA: SAA 3:00 ASUBUHI HADI 7:00 MCHANA
MADA MBALIMBALI ZITATOLEWA NA MIJADALA KATIKA MADA HIZO
TUNAOMBA MJUZE MWENZAKO PINDI UPATAPO TAARIFA HII
WABILLAH TAWFIQ
Wednesday, April 10, 2013
MAJINA YA WAHITIMU WALIO KAMILISHA FEDHA ZA VYETI.
ST.
AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA
MWANZA
MAJINA YA
WAHITIMU WALIO KAMILISHA FEDHA ZA VYETI.
v ADVANCED DIPLOMA IN ACCOUNTANCY
1. JOHARI RAMADHANI
2. HADIJA MASHAMU
3. ZAUJATI CHAMBO
4. KHALFANI.N.MSANGI
v ADVANCED DIPLOMA IN PROCUREMENT AND LOGISTICS MANAGEMENT
1. MOHAMED. R.
MWAJA
v BACHELOR OF ARTS IN PUBLIC RELATION AND MARKETING
1. BARKA AHMED
2. SHEILA MSUYA
3. MGOJA BAKARI
4. CHAUREMBO.M.ALLY
v BACHELOR OF BUSINESS ADMINISTRATION
1. MOHAMEDI. A.
MOHAMEDI
2. KHALIDI MAHADI
3. HASHIMU ZUBERI
4. MOHAMED. A.
MBADJO
v BACHELOR OF ARTS IN SOCIOLOGY
1. REHEMA .H. KITWE
2. PILI MAZIGE
v BACHELOR OF SCIENCE IN PROCUREMENT AND SUPPLY CHAIN MANAGEMENT
1. MWANAIDI
DUMWALLAH
2. SEIF .A. MUYO
3. SALMA .I.MBEO
4. ZAITUNI LEMA
v BACHELOR OF PHILOSOPHY WITH EDUCATION
1. AYOUB . A.KENGWA
2. ASHA .H. ALLY
v BACHELOR OF LAWS
1. HEMED SMITH
v BACHELOR OF ARTS IN MASS COMMUNICATION
v BACHELOR OF ARTS IN ECONOMICS
1. MBAROUK MATATA
v BACHELOR OF ARTS
WITH EDUCATION
1. SAADA .J.
RAMADHANI
2. MUNIRA .E.
MALLYA
3. RAMADHANI THOMAS
4. HALIMA NASSORO
MULIKA
5. KHARIFA .A.MTABUZI
6. NUHU .J.SAID
7. HALIMA ABDILLAH
8. FAUZU .I. KINOBE
9. IZADINI. H.
HATIBU
10.
ILOZE NGEREZA
11.
RAJABU SHABAN SALLA
12.
SHABANI. A. ALLI
13.
ABDARAHMANI. R.HONDO
14.
MAPELE ALLY
15.
OMARY MACHETA
16.
ALLY FERUZI
17.
AISHA STAMBULI
18.
MWAJUMA SALEHE
19.
ADHA .H.ABDILLAH
20.
ZUHURA ZENGWA
21.
ANYIMIKE THOMSON MWAKYANJALA(Muhitimu mwaka 2011 cheti
kimepotea)
22.
JAMILAH
NB.
v JINA LA KOZI YA
MUHITIMU
Subscribe to:
Posts (Atom)