Wednesday, April 17, 2013

TANGAZO LA KONGAMANO LA WANAWAKE

 ASSALAM ALAYKUM.NDUGU KATIKA IMANI MNAALIKWA KWNYE KONGAMANO LA WANAVYUO LINALO WAJUMUISHA WANAWAKE WA KIISLAM WA VYUO MBALIMBALI VYA JIJI LA MWANZA.
MAHALI:   SAUT
UKUMBI:   M1
MUDA:      SAA 3:00 ASUBUHI HADI 7:00 MCHANA
          MADA MBALIMBALI ZITATOLEWA NA MIJADALA KATIKA MADA HIZO
          TUNAOMBA MJUZE MWENZAKO PINDI UPATAPO TAARIFA HII
    WABILLAH TAWFIQ

No comments:

Post a Comment

Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!