ASSALAM ALAYKUM.NDUGU KATIKA IMANI MNAALIKWA KWNYE KONGAMANO LA WANAVYUO LINALO WAJUMUISHA WANAWAKE WA KIISLAM WA VYUO MBALIMBALI VYA JIJI LA MWANZA.
MAHALI: SAUT
UKUMBI: M1
MUDA: SAA 3:00 ASUBUHI HADI 7:00 MCHANA
MADA MBALIMBALI ZITATOLEWA NA MIJADALA KATIKA MADA HIZO
TUNAOMBA MJUZE MWENZAKO PINDI UPATAPO TAARIFA HII
WABILLAH TAWFIQ
No comments:
Post a Comment
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!