Friday, October 28, 2011

UPANUZI WA MSIKITI CHUO CHA SAUT-MWANZA

Harakati za upanuzi wa msikiti unaoendea kufanyika katika msikiti wa chuo cha mtakatifu Agustino Mwanza Tanzania.Hivyo tunaomba kwa mtu yeyote kujitolea kwa chochote ilikuweza kufanikisha upanuzi huu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!