Amir wa TAMSYA mkoa Ndg.Ahmed Binde pamoja na naibu Amir wa TAMSYA Mkoa wa Mwanza Ndg.Abdul-Rasul Maheta wakimsindikiza mlezi Ndg.Altaf Hirani.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!
Uongozi wa SAMUCO inawatangazia Uchaguzi Mkuu wa jumuiya siku ya Jumapili tarehe 18/12/2011 utakaofanyika katika ukumbi wa M3 saa mbili asubuhi. Mnaombwa sana kuzingatia muda na pia kuhudhuria kwa wingi. Wabillah Tawfiq.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!