Tuesday, November 22, 2011

Nyama ikiandaliwa kwa waajili ya kuigawa kwa jumuiya ya watu wanaozunguka jumuiya ya chuo cha SAUT wakati wa sherehe ya Eid Elhajj mwaka 2011.Hakika ilikuwa siku ya furaha kubwa kwa wana SAMUCO.Mashallaaaaah.

No comments:

Post a Comment

Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!