Rais wa TAMSYA akisikiliza linaloendelea katika ukumbi akiwa makini kabisa sambamba na mlezi wa SAMUCO katika mahafali ya kuwaaga wahitimu wa mwaka 2010 yaliyofanyika katika chuo cha SAUT kwenye ukumbi wa M11 mwaka2010.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!
Uongozi wa SAMUCO inawatangazia Uchaguzi Mkuu wa jumuiya siku ya Jumapili tarehe 18/12/2011 utakaofanyika katika ukumbi wa M3 saa mbili asubuhi. Mnaombwa sana kuzingatia muda na pia kuhudhuria kwa wingi. Wabillah Tawfiq.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!