Monday, November 21, 2011

Rais wa TAMSYA akisikiliza linaloendelea katika ukumbi akiwa makini kabisa sambamba na mlezi wa SAMUCO katika mahafali ya kuwaaga wahitimu wa mwaka 2010 yaliyofanyika katika chuo cha SAUT kwenye ukumbi wa M11 mwaka2010.

No comments:

Post a Comment

Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!