a alaykum imethibit katika sahihi mbili[bukhari na muslim]katika hadithi ya umar ibn khatwab mtume [swalaLLAH alahi wasallam]anasema 'hakika kila kitendo huzingatiwa niyya na hakika si vyenginevyo katika kila kitendo[hulipwa kwa kuzingatia niyya]... ' hivyo basi tujitahid kuzitengeneza niyya zetu tunapotaka kufanya kitendo [ibada]na niyya pahala pake ni moyoni ima kuitamka ni bid a'a.
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!
Uongozi wa SAMUCO inawatangazia Uchaguzi Mkuu wa jumuiya siku ya Jumapili tarehe 18/12/2011 utakaofanyika katika ukumbi wa M3 saa mbili asubuhi. Mnaombwa sana kuzingatia muda na pia kuhudhuria kwa wingi. Wabillah Tawfiq.
a alaykum imethibit katika sahihi mbili[bukhari na muslim]katika hadithi ya umar ibn khatwab mtume [swalaLLAH alahi wasallam]anasema 'hakika kila kitendo huzingatiwa niyya na hakika si vyenginevyo katika kila kitendo[hulipwa kwa kuzingatia niyya]... ' hivyo basi tujitahid kuzitengeneza niyya zetu tunapotaka kufanya kitendo [ibada]na niyya pahala pake ni moyoni ima kuitamka ni bid a'a.
ReplyDelete