Tuesday, November 22, 2011

Mashallaaaaah!Ng'ombe akichinjwa kwaajili ya kitoweo siku ya Eid Elhajj.Nyama iliandaliwa na wanajumuiya walifaidi pamoja na watoto yatima pia watu wa karibu walipata mgao ili nao washerehekee Eid Elhajj kwa furaha.

No comments:

Post a Comment

Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!