Mashallaaaaah!Ng'ombe akichinjwa kwaajili ya kitoweo siku ya Eid Elhajj.Nyama iliandaliwa na wanajumuiya walifaidi pamoja na watoto yatima pia watu wa karibu walipata mgao ili nao washerehekee Eid Elhajj kwa furaha.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!
Uongozi wa SAMUCO inawatangazia Uchaguzi Mkuu wa jumuiya siku ya Jumapili tarehe 18/12/2011 utakaofanyika katika ukumbi wa M3 saa mbili asubuhi. Mnaombwa sana kuzingatia muda na pia kuhudhuria kwa wingi. Wabillah Tawfiq.
No comments:
Post a Comment
Tafadhali tumia lugha nzuri na yenye staha katika kutoa maoni yako,kwani lugha chafu hazitavumiliwa,hivyo basi kuwa mstaarabu.Mwenyezi Mungu na akuongoze.Aamin!